Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee weka hapa plz, lolote litakalotokea litakua juu yetu, hutahusika. Serious weka bhana.
isije ikawa miaka falni nipo secondary school, nina rafiki yangu mmoja akaja kuniambia kuna majani flani nikachume wakati natongoza demu niwe natafuna hako kajani.. hakuna demu atae kataaa.. khaaaaa... nilichopataga kwa A.... japo badae niling'oaaa siji kusahau hiyo aibu 😂😂😂😂
 
isije ikawa miaka falni nipo secondary school, nina rafiki yangu mmoja akaja kuniambia kuna majani flani nikachume wakati natongoza demu niwe natafuna hako kajani.. hakuna demu atae kataaa.. khaaaaa... nilichopataga kwa A.... japo badae niling'oaaa siji kusahau hiyo aibu
Wee weka hiyo mixer bhana kijana wa kihuni.
Plz niko seriouz hapa.
 
wajuba wengine wanakata stim, unakuta mwingne "oooh yeaaaaah nakojoa bebiiiiih, nakojoa bebiiih, pokea hizo zinakuja aaaaaah" kwa sauti kubwa, kwan nan hajui km unakojoa? Au najua unataka kunya? Msieeeew.
aaah! kuna namna mtu hajui kama wazungu wanatoka utashangaa mtu chaliii 😂😂😂
 
Back
Top Bottom