Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijui nilikimbiaje ni kama mtu kwenye ajari mwingine hajui aliponaje.. 1 year safi sema sifanyagi nao matusi mie bado bikra najitunzaaa huwa wanakuwa marafiki zangu tu wa story na out 😉😉😉😉
 
Kabisaa hata usijaribu, ila jaman mwanaume awe mrefu, mwembamba afu mweusi flan iv, awe na ndevu za kichokozi, mie huwa navurugwa kabisaaa.
Haha mulemuleeee🤭🤭! mimi awe na body flani hivi asiwe mnene sana lakini yeah anipite urefu afu black huwa nafeel sana! Napenda sana kumkalia kalia yani nikimkalia anishike nishikike😳🤭!
 
Hamna mwanamke analiwa kimasihara, inakua ameamua tu na kuridhia mwenyewe.

Sie wanaume ndio tunafikiri ni kimasihara kumbe umeingizwa king.

View attachment 2068124
Si ndo hapo sasa..yani unile bila kutaka 😁😁haijawahi kutokea.ukinila ujue nilikulia taimingi Ila nikaamua kuzuga.

Jibu ni moja ukiliwa bila kutaka jua huo ni ubakaji lakini nimekubali,tukakiss Na kukiss my friend..nilikusidiwa kuliwa.

Hakuna masihara kabisa
 
Haha mulemuleeee
! mimi awe na body flani hivi asiwe mnene sana lakini yeah anipite urefu afu black huwa nafeel sana! Napenda sana kumkalia kalia yani nikimkalia anishike nishikike
!
Yaan wanaume wa sampuli hizo ni
.
Na wanakua na mguu wa mtoto ktk suruali zao, na show za kibabe wanatembeza, yaan wanapeleka motooo hadi vinyevushaji vinaacha ushirikiano,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…