cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Naweza kimbia hadi nikapaaaa, nimekumbuka mbio kipindi nipo chuo kuna mwanafunzi mwenzangu akanipeleka uwanja wa fisi, ile kuona yale mambo alinikuta chuoni nimelala nilifikaje fikaje sijui, ndio mbio ambazo nitazipiga nikivamiwa na mrembo asahivi
![]()





nimecheka mbavu cna wallah.




