Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Naomba Idea kesho nikazurure wapi
Nipo unguja
😂Daah; basi tu yaani![]()
Mwaka huu ndio naenda kuwa na hela sasa.. 2022.. tuna double yaani 😂😂😂😂..Ashukuriwe Mungu unazo
Ole wako akiishia kula nauli. Mwaka mpya utauanza kwa aibu![]()















Ini lako mkuu lina kazi pevu. Ni kampa kampa bandika bandua hakuna kupumzika mpaka kieleweke. Maisha ni haya haya kwa kweli hakuna mengine. Mwaka mpya mwema kamanda.
Rafiki. Mwaka huu na ukawe mwema kwako na wapendwa wako mpaka ushangae ufurahi hadi uirudishe avatar na ID yangu niipendayo sana...Amen..Amen Satoh..
Ni ikawe hivyo IJN..
Uwe na mwaka mpya mwema kwako..Mafanikio na Baraka zikawe pamoja nawe..
Sent using Jamii Forums mobile app








Hmm..we unatamani utulivu ama shamrashamra??Naomba Idea kesho nikazurure wapi
Nipo unguja
Ndio naleft hapa
Nakusanya virago vyanguleo ni jaribio kwanza
Mkonoooooo
Nakusanya virago vyangu
Mwaka umekuja na mabadilikoEeeh kusanya
Ukute kuna watu pamoja na kutagiwa watapitwa😂😂😂Jaani wapendwa, puliziiii msinichambe sana; wengine hatuna hobby na picha kabisa. Leo nimeanza majaribio
Karma uko wapi nkamu, maana leo umeongea hadi nafsi imenisuta
Shimba Ya Buyenze naamini kumeshakucha, hutopitwa Mtumishi
Saint Anne utapunguza kunisnitch sasa
Habun na hawa wadogo zako, baada ya jaribio mjiandae kuleft JFView attachment 2065497
Mwaka umekuja na mabadiliko
Waselfikaji tumestaafu,,tumewaachia ambao mlikuwa hamjawahi![]()