donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Putu..........















Picha tunapiga kama zote nkamu, ila zinabaki tu kwenye simu zetu. Wasiokuwepo eneo la tukio na lao halipo![]()
Kuna distance nkamu, labda uwe na issue imekupeleka huko au ndiyo kina sisi ni home sweet home
Habari za asubuhi wakuu
Naendelea kupokea rambirambi za mpendwa wetu mawardat alifiwa na BABA yake mzazi
+255768683021-Paul Ellyson Lugiko
Namba ya wakala M-pesa
167517-NENGELO OIL
Kesho nitamtumia mhusika kwa kile kilichopatika(tolewa na wapendwa)
Mshana Jr 10,000/=
Shimba Ya Buyenze 31,444/=
T 1990 ELY 10,000/=



Bosiiiiiii ladyLee muganda wange bukedde??View attachment 2062396
Maliza kazi kwanza bosi akee!!Bosiiiiiii lady
Wameondoka wengi sana akina Josky, Simaro etc etcMiamba ya muziki wa Kongo enzi zetu ndiyo inaishia ishia sasa. Kuanzia Luambo, Tabu Rey, Madilu, Papa Wemba, Aurlus Mabele, Defao...kabakia Papa Mobimba Koffi angalau anazidi kulisongesha. Na sijui kama akina Diblo Dibala, Dalii Kimoko, Ngouma Lokitto na wengineo bado wana nguvu za kucharaza magitaa yao...End of an era for sure. Yaani gitaa linapigwa mpaka unalisikia kabisa hili hapa yaani...

