Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeona eeh??
Wanatusifia humu,wakati huko wanatuponda na wamefanya wanawake wasijiamini waanze kujichubua.


Mimi cheusi mangala nitapambana na rangi yangu hadi mwisho wa dahari
 
Umeona eeh??
Wanatusifia humu,wakati huko wanatuponda na wamefanya wanawake wasijiamini waanze kujichubua.


Mimi cheusi mangala nitapambana na rangi yangu hadi mwisho wa dahari
yaan mwanaume wanavosifia weusi had unajiuliza hawa wanaochibua wanatafuta nn? Sasa tazama kiundani ndo utajua uhalisia,

Km huyu aliesema kwamba humu hakna pisi kali ila wapo wife material, unadhan sababu nn? Weusi yaan yeye alidhan wapo weupe kakuta tofauti ndo akawa anananga vile,. Wee dafa zangu nyie mlivokua wazuri lol.

Yaan mwanaume kila mwanamke mweupe n mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…