[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwenye coursework ni kutafutan tyuuh,Sasa subiri coursework zije uone kama ndizi walizoenda kula zitawasaidia[emoji38]
Kulikuwa na lecturer anaingis tar 26 asubuhi mjinga yule[emoji1787]
Wee si mmefungwa 3 kwa 2 au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nipo na mashangwe yangu huku ya liverpool
Umeona eeh??Ndyo ila acha uongo, mbna yule uliekua nae kule Hyatt juz juz n mweupe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au unadhan tumesahau? Hahahah ila mwanaume bhana kutwa black iz beaut, ila wanao kula nao bata n weupe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ile ya karma,niliipenda,tokea nimegeuza dishi kutumia azam[emoji16]Dstv wanikome[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nahis hivyo, mie naipenda had leo Kapuni, ile kweli tamthilia, kuna mtu alicheza uhusika wangu mule, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndyooooh [emoji23][emoji23]Umeona eeh
Nilijilipua nikarudi nyumbani ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwenye coursework ni kutafutan tyuuh,
Ila lecturers wana masifa khaaa, sasa tar 26 c n sikukuu bado [emoji23][emoji23][emoji23]
Lengo kukomoa wanafunzi tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toa emoji ntakwambia ikoje afu ntakununulia zawadi ya puto tuselfike usiku kucha mtoto mzuri.Pua ya kihindi ndiyo ikoje [emoji1][emoji1]
Unaota dogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee si mmefungwa 3 kwa 2 au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mwanaume wanavosifia weusi had unajiuliza hawa wanaochibua wanatafuta nn? Sasa tazama kiundani ndo utajua uhalisia,Umeona eeh??
Wanatusifia humu,wakati huko wanatuponda na wamefanya wanawake wasijiamini waanze kujichubua.
Mimi cheusi mangala nitapambana na rangi yangu hadi mwisho wa dahari[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie DSTV yangu nlishaacha kulipia ilivoisha kapuni na karma,Na ile ya karma,niliipenda,tokea nimegeuza dishi kutumia azam[emoji16]Dstv wanikome
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ulipigwa na kitu kizito?Nilijilipua nikarudi nyumbani ..
Kilichofuata anajua Mungu[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kna mtu kaniambia, maan najua HT ilikua 3 kwa 1.Unaota dogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuaminia sana afande. Hufutagi picha yaani. Safi sana as usual [emoji91]Usiku MwemeniView attachment 2053963
Mjukuu lala ukue. Emiir yuko wapi amekuacha unapuyanga mpaka usiku wa manane humu mitandaoni? Nikibadili mawazo atajuta!Byeeeee[emoji173][emoji120][emoji173][emoji120][emoji173][emoji120][emoji173]
Yuko Mbinga ndani ndani bila shaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kna mtu kaniambia, maan najua HT ilikua 3 kwa 1.
Ilinigharimu,nikawekwa nyavuni semester ya mwanzo ya mwaka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ulipigwa na kitu kizito?