Selfika na JF: Snap it. Show it

Tatizo lenu mnakompuliketi mno mambo. Mimi mdada akiwa na mtako tu basi otomatikale hiyo ni pisi kali. Sasa unaangalia mpaka sura kwani mnakwenda kushiriki Miss World?

 
Kivipi sasa rafiki hio parapanda kiaje????!! Hapana sijanunua mimi mimi nimevikuta pahala sasa tu!!
Nadhani ni madawa ya kuongeza nguvu za kiume yaliyotamalaki kila kona. Na watu wenye tatizo hilo hupita njia za mkato tu na kufakamia haya madawa yanayouzwa kiholela hata bila kujua hasa kiini cha tatizo ni nini. Mara nyingi tatizo hilo, ukiachilia mbali sababu zinazosababishwa na mfumo mbovu wa maisha, linasababishwa na matatizo mengine ya kiafya kama shida za moyo, presha, kisukari n.k. Kupita njia ya mkato tu na kutumia haya madawa kunaweza kuwa na madhara makubwa zaidi kwa mtumiaji kwa sababu kama kiini ni moyo wenye matatizo au presha mtu anaweza kujikuta anazimika na huo ndo mwanzo wa kuimba parapanda...

Ndicho nilichomaanisha best...
 
Dohh! Asante sana kwa ufafanuzi mkuu!πŸ™
 
Jirani walikukamatia wapi?

Maana I can imagine vyenye ulitoka mkuku
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Niliwaachia msala wapambane,mimi nikajificha ndaniπŸ˜‚
Wao wenyewe walikuwa wanacheka wakiniona.
Tatizo upo mbali baba,ona napata shidaπŸ˜‰.


Btw,unajua nataka niniπŸ€—
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…