Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii thread imenifanya nijue raia za JF zinaonekanaje,atleast inakufanya uone upo mtandao wenye binadamu.

Japo katika ID 10 nilizokua nikidhani ni Pisi kali za kwenda nimeangukiaa PUA na namshukuru Mungu sikuwahigi hata zipaparikia


Sema JF imejaaa wadada wa kawaida munoooo zile sura za kuweka ndani kama (WIFE) ndio zimejazana..

Sura za kutembea kulia bata zinahesabika walahi tena yakupasa uwe na darubini kuzipata pisi kali..

Ila WIFE MATERIAL FACES zimejazana kila angle, Nahitimisha kwa kusema JF ina wife material wengi sana hakiiiii tena.

Gentlemen jiongezeni wadada wa humu wako na sura personal Mno, its safe to marry them let us Work out ktk hili.. Tupambanie hili Guys.
 


Ni vizuri kuwa na less expectations katika kila jambo chief

Eti sura za kulia bata..hivi jf hii misemo mnatoaga wapi?
 


Ni vizuri kuwa na less expectations katika kila jambo chief

Eti sura za kulia bata..hivi jf hii misemo mnatoaga wapi?
tatizo unaweza soma comment ya mtu jukwaa la Urembo kule ukajisemea hii mtoto lazima itakua pisi tu sio kwa namna inajua kuvaa na kupangilia vitu asee..

Njoo selfika ukutane na vidole vyake ndio utajua hujui kufikiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…