Selfika na JF: Snap it. Show it

Mapenzi yamewakuta wenyewe,
 
Wewe umenishinda tabia


Sipati picha ingekuwa unaelezea kwa vitendo sijui ingekuwaje
kwa kweli mie cna akili wallah, yaan nikiona mwanaume yeyote mnene nawaza mchumba/mke wake ana tabu vipi ktk mtanange ule wa kupelekana kanaani kwa muda
.

Afadhar mwanamke hata awe bonge kias gan, kifo cha kunguni kina leta masham sham na mshawasha.


Hebu fanya mazoezi huko, utachapiwa shauri yako wee zubaa tyuuh, usiseme hujaambiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…