kwa kweli mie cna akili wallah, yaan nikiona mwanaume yeyote mnene nawaza mchumba/mke wake ana tabu vipi ktk mtanange ule wa kupelekana kanaani kwa muda
.
Afadhar mwanamke hata awe bonge kias gan, kifo cha kunguni kina leta masham sham na mshawasha.
Nimependa ukuta wa room yako, uko cool, hiyo wakat wa majambozi hakna haja ya kufumba macho, macho unayaelekeza hapo ukutan huku una feel uko Uruguay unatalii nchi ya kina Suarez