Selfika na JF: Snap it. Show it

Saint Anne alifanya hadi nikanunua daftari ili aanze kunifundisha hiko Kinyaki lakini over suddenly akasema eti Ada ya Udahili imepanda 🙆🙆

Bora tu unifundishe wewe hata kama kitakuwa cha kuombea Maji kitanifaa tu 😂
 
Tutangazie tu mama maana wanaudharau sana mkoa wetu eti kisa ghorofa lenye elevators liko moja tu wakati sasa hivi yako mawili. Mbeya yenyewe tu ilivyo geographically ni elevated region hivyo haupendezi kuwa na majengo marefu sana.
Ongezeni basi hata nyingine ya tatu 😁😁

On a serious note though....ni pazuri kuliko nilivyotarajia!
 
Mie nilicheka tu hii caption

Eti ongea na watu vizuri huko mtaani
View attachment 2048719
yaan basi memes zinavyozagaa huko mitandaon had Co poaa, tatzo hizo gwanda zenu mkivaa mnatisha bhana,
Mtoto wa kaka akimuonaga cc (shangazi yake) amevaa hata boots tyuuh, atatimua mbio huyo km ameona kitu cha ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…