Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,566
Nitoe chupa,leta dole gumbaKuna watu wana lipsi jamani
Natamani ningekuwa Mimi hiyo Chupa![]()

Nitoe chupa,leta dole gumbaKuna watu wana lipsi jamani
Natamani ningekuwa Mimi hiyo Chupa![]()

Hebu kuwa serious Mkuu kuhusu hili, utafanya niwahi ndege ya Jioni kukuletea hilo Dole Gumba langu 😋🙈🏃🏃Nitoe chupa,leta dole gumba![]()
Pole Sana,shida nini?View attachment 2047768
Yaani msosi nabaki nautazama tu!Homa kali
mawardat njoo uniuguze babu yako kakubali![]()
Nitawatawanya kwa njia saba![]()

Fanya uwahi kuleta hilo dole gumba banaHebu kuwa serious Mkuu kuhusu hili, utafanya niwahi ndege ya Jioni kukuletea hilo Dole Gumba langu![]()

Beautiful family. Happy Holidays and God Bless.Yes ma'am ☺☺
It's a full house over here 🙂
Wimbi hili limeupiga mwingiView attachment 2047768
Yaani msosi nabaki nautazama tu!Homa kali
mawardat njoo uniuguze babu yako kakubali![]()











Homa tuu!!Pole Sana,shida nini?
Pole sana,ngoja nije nikulishe babu yanguHoma tuu!!

Bahati haziji mara mbili, ngoja niwahi miye 🏃🏃🏃🏃🏃Fanya uwahi kuleta hilo dole gumba bana![]()
Bado wewe tuNaunga mkono hoja. Tena ukiselfika lile guu lako ndo uchawi utakamata sawasawa Mama Mchungaji atakuwa anaselfika deile
Sharti la mganga hilo timiza!
Homa ipo kuupiga mwingi mjini daslama![]()


ila kiukweli dar kina ka wimbi ka homa plus mafuaTrue!ila kiukweli dar kina ka wimbi ka homa plus mafua
Taratibu,usije angukia puaBahati haziji mara mbili, ngoja niwahi miye![]()


Ndio wapi huko?Dada yangu imemtesa sana hii hali,
Nipo hapa Kampala UN,naja



Kwa kweli, si unajua tena Wazee mwendo wetu hasa tukipewa ofa za aina hiyo 😜😜🤸🤸Taratibu,usije angukia pua
![]()