Selfika na JF: Snap it. Show it

Dar Lux nilipanda mara moja tu nikasema sirudii tena. Siku niliyopanda na kufika Dar saa sita za usiku nikasema mwanzo na mwisho.

Rungwe nao nilipanda siku moja tukafika Mbeya saa nne na mji kama Mbeya saa nne tayari maduka mengi yamefungwa watu wamelala. Nikasema sirudii tena.
 
Dooh kumbe nawe mtata. Dada yangu aliwahi gombana na New Force kuhusu suala la mizigo miaka hiyo wakati inahit basi tangu alivyogombana nao akawa anawasagia kunguni tu.
Wajinga sana wale.


Yaani eti ananitishia kushusha eti nipande nao kwenye seat nikamwambia wewe shusha mimi naenda kuuweka katikati ya gari na tukifika kwa traffic namuita namwambia umekataa kunipakilia kwenye buti.
Ile tumeshuka tu mbezi anawaambia wenzie huyo dada namdai
Nilibishana naye mjinga yule,,Abiria wakaanza kumfokea anawachelewesha..

Hela yangu sitoi kizembe.
 
Damu yetu hii kwa ubishi tuko vizuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu wapo safarini,si unaona wanavyopiga Stori za mabasi? wakifika watapiga picha mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ukiwa safarini camera inakua haifanyi kazi?
Heshima kwa wanaotukumbusha. Kuna huyu Lizzy anatukumbusha sana. Sio mbaya kupiga story ila maudhui ya uzi, sindikiza na kapicha kidogo.
 
Damu yetu hii kwa ubishi tuko vizuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile asubuhi tunabishana naye, mama ananiambia toa tu,nikamwambia nitoe nini wakati huu mzigo ni bure..wamezoea kuonea wanyonge.

Oh dada napakia mzigo ila tukifika mbezi utaulipia,nikamwambia wewe pakia,tukifika mbezi nitafutie mizani tupime mizigo..nina tiketi 2,zikizidi 50kgs nakulipa hela.

Tumefika mbezi,sister yuko pale,,,tukaanza kubishana naye wote wawili.

Nilifika nyumbani nikapiga na simu kwa boss wake kueleza ushenzi anaofanyia abiria.
 
Nimeona kuna meme inasema kama hujapitiwa na haka kahoma kanakotrend sasa hivi basi wewe ni mchawi. Nikajisemea tu kumbe 'wachawi' tuko wengi hehe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli nyie ni wachawi[emoji23][emoji23][emoji23].


Mimi ninavyoshinda kwenye mwendokasi tunapangusiana jasho na watu,hakuna namna ningesalimika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…