Selfika na JF: Snap it. Show it

al saedy. Yupo kilombero.kilosa pia eeh
 
Hivi Dar Lux na Rungwe yapo jamani? Enzi zile Rungwe bado inatamba, ukoo mzima wanyaki tunapanda Rungwe, ole wako ukapande bus lingine. Kuna siku karibu na Kitonga ile; sijui bus lilitaka liwake moto. Maana ilianza harufu kali ndani kama ya chemicals; ukaja moshi mzito ndani; daah kumbe nipo mwepesi vile kwenye kuruka dirishani hehehe; maisha matamu jamani mweeh.
 
Dooh kumbe nawe mtata. Dada yangu aliwahi gombana na New Force kuhusu suala la mizigo miaka hiyo wakati inahit basi tangu alivyogombana nao akawa anawasagia kunguni tu.
 
Mimi limit yangu ya kukaa ni seat no 20.
Kama gari haina hizo seat basi sikati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…