tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 22,201 Reaction score 29,764 Dec 16, 2021 #125,201 Karibuni
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Dec 16, 2021 #125,202 Emiir said: View attachment 2046121 Hata wakisema mwanaume wa Dar poa tu, hakuna noma!! Kujipenda hakuna mwenyewe! Click to expand... Hiyo dawa ya meno huwa ni nzuri sana ...
Emiir said: View attachment 2046121 Hata wakisema mwanaume wa Dar poa tu, hakuna noma!! Kujipenda hakuna mwenyewe! Click to expand... Hiyo dawa ya meno huwa ni nzuri sana ...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 16, 2021 #125,203 MALCOM LUMUMBA said: Hakuna tatizo lolote mkuu.... Click to expand... Malcom unakumbuka mwaka huu kule kwenye likes nilikuomba picha?
MALCOM LUMUMBA said: Hakuna tatizo lolote mkuu.... Click to expand... Malcom unakumbuka mwaka huu kule kwenye likes nilikuomba picha?
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,364 Dec 16, 2021 #125,204 Lee said: Hiyo dawa ya meno huwa ni nzuri sana ... Click to expand... Yes, yaani kwa upande wangu naona Sensodyne ndio nzuri kwasasa, nikikosa hiyo huwa nachukua brand ya Himalaya.
Lee said: Hiyo dawa ya meno huwa ni nzuri sana ... Click to expand... Yes, yaani kwa upande wangu naona Sensodyne ndio nzuri kwasasa, nikikosa hiyo huwa nachukua brand ya Himalaya.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 16, 2021 #125,205 Lee said: Hiyo dawa ya meno huwa ni nzuri sana ... Click to expand... Ila chungu
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,648 Dec 16, 2021 #125,206 Emiir said: Hapana mkuu, nitake radhi....kwani hatufahamiani kwasababu ya account bandia tunazotumia!! Click to expand... Nikutakeje radhi na nimekuuliza au wewe Ramadhani? KY kibao Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Emiir said: Hapana mkuu, nitake radhi....kwani hatufahamiani kwasababu ya account bandia tunazotumia!! Click to expand... Nikutakeje radhi na nimekuuliza au wewe Ramadhani? KY kibao Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,353 Dec 16, 2021 #125,207 Saint Anne said: Malcom unakumbuka mwaka huu kule kwenye likes nilikuomba picha? Click to expand... Aaaaah, nimesahau ati......!
Saint Anne said: Malcom unakumbuka mwaka huu kule kwenye likes nilikuomba picha? Click to expand... Aaaaah, nimesahau ati......!
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,364 Dec 16, 2021 #125,208 Saint Anne said: Ila chungu Click to expand... Aaah, uchungu uko wapi pale!? Mbona mint ni nzuri tu? Tatizo umetumia sana zile pipi kifua!
Saint Anne said: Ila chungu Click to expand... Aaah, uchungu uko wapi pale!? Mbona mint ni nzuri tu? Tatizo umetumia sana zile pipi kifua!
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Dec 16, 2021 #125,209 Saint Anne said: Baada ya kuzidiwa usiku ,nikasema asubuhi niende kutembea huko mjini ..kuosha osha macho . Nimetaka kudondoka kwa watujinsi ninavyojisikia vibaya. Mwili wote unawaka moto ukiongozwa na kichwa. Sijui ndo corona part 3 Mungu wangu Click to expand... Pole dear ,
Saint Anne said: Baada ya kuzidiwa usiku ,nikasema asubuhi niende kutembea huko mjini ..kuosha osha macho . Nimetaka kudondoka kwa watujinsi ninavyojisikia vibaya. Mwili wote unawaka moto ukiongozwa na kichwa. Sijui ndo corona part 3 Mungu wangu Click to expand... Pole dear ,
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,364 Dec 16, 2021 #125,210 kurlzawa said: Nikutakeje radhi na nimekuuliza au wewe Ramadhani? KY kibao Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app Click to expand... Hapana mimi sio Ramadhani, hiyo KY umeiona wapi hapo? Ulivyomaanisha ni tofauti na uhalisia ulivyo... Pole sana.
kurlzawa said: Nikutakeje radhi na nimekuuliza au wewe Ramadhani? KY kibao Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app Click to expand... Hapana mimi sio Ramadhani, hiyo KY umeiona wapi hapo? Ulivyomaanisha ni tofauti na uhalisia ulivyo... Pole sana.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 16, 2021 #125,211 Emiir said: Aaah, uchungu uko wapi pale!? Mbona mint ni nzuri tu? Tatizo umetumia sana zile pipi kifua! Click to expand... No Huwa natumia hiyo,Vigor dokta na colgate. Za kibabe zote.
Emiir said: Aaah, uchungu uko wapi pale!? Mbona mint ni nzuri tu? Tatizo umetumia sana zile pipi kifua! Click to expand... No Huwa natumia hiyo,Vigor dokta na colgate. Za kibabe zote.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 16, 2021 #125,212 MALCOM LUMUMBA said: Aaaaah, nimesahau ati......! Click to expand... Uliahidi kunipa. Timiza ahadi sasa
MALCOM LUMUMBA said: Aaaaah, nimesahau ati......! Click to expand... Uliahidi kunipa. Timiza ahadi sasa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 16, 2021 #125,213 Tinsley said: Pole dear , Click to expand...
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Dec 16, 2021 #125,214 Saint Anne said: Uliahidi kunipa. Timiza ahadi sasa Click to expand... Kwenye ubora wakoo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 16, 2021 #125,215 Lee said: Kwenye ubora wakoo Click to expand... Leeniache Wewe si huwa unaninyima.
Satoh Hirosh JF-Expert Member Joined Mar 30, 2021 Posts 7,151 Reaction score 28,874 Dec 16, 2021 #125,216 Kijana wa hovyo hovyo said: Christmass hapa inalika sasa View attachment 2046103 Click to expand... Uko vizuri mkuu😅.. Christmas haina stress kbs
Kijana wa hovyo hovyo said: Christmass hapa inalika sasa View attachment 2046103 Click to expand... Uko vizuri mkuu😅.. Christmas haina stress kbs
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Dec 16, 2021 #125,217 Saint Anne said: Leeniache Wewe si huwa unaninyima. Click to expand... unataka kunigombanisha lakin
Makiwendo JF-Expert Member Joined Aug 12, 2015 Posts 10,031 Reaction score 34,667 Dec 16, 2021 #125,218 T 1990 ELY said: Fundi rangiView attachment 2046058 Click to expand... N'tuzu Penzini Sent using Jamii Forums mobile app
T 1990 ELY said: Fundi rangiView attachment 2046058 Click to expand... N'tuzu Penzini Sent using Jamii Forums mobile app
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,353 Dec 16, 2021 #125,219 Saint Anne said: Uliahidi kunipa. Timiza ahadi sasa Click to expand... Ntakutumia mdogo wangu...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 16, 2021 #125,220 MALCOM LUMUMBA said: Ntakutumia mdogo wangu... Click to expand... Lini?