Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa ninataka kukupa pongezi ya 20k.
Ila kwa haya ninayoyaona 20k utaiona kama takataka.
 
Naukome kabisa.

Nipo kukusanya hesabu tuu.View attachment 1224151
Aisee. Huu uzi ulifanya mnara wangu ukasoma 5G ila baada ya kufika kwenye haya magari mnara umerudi G kwa unyonge.
Basi hapo kuna jamaa mmoja hafurukuti yaani. Ila ana haki ya kutokufurukuta maana upo vizuri kweli.
Hata mimi ningepata Toto kama wewe ningekula hata mihogo nimnunulia private jet.
Hongera Madame Mwalimu na huko kwenye ualimu unauza sura tuu maana life tayari unalo.
Ngoja nizisake chapaa.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…