Mbeya inantamanisha kuishi sababu ya kuwa na gharama ndogo za kuishi, tatizo Kuna vibaka balaa. Na Mimi mpenda kutemmbea usiku na kusafiri usiku ndio hatari.
Kuna siku nimefika saa Tisa night nkakutana nao, bahati nzuri nilikuwa na mwenyeji la sivyo ingekuwa balaa.
Juzi nimelala lodge maeneo ya Soweto, mida ya saa Saba night Kali nipo busy napambana na report naskia huko nje barabarani mwizi anapigwa, mwanaume analia kama mtoto wa kike.
All in all Mbeya kuzuri.
View attachment 2041890View attachment 2041891