Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Kuwa makini,usije kuwa Kama bundi.Bundi hunusa harufu ya mtu anayekaribia kufa hata wiki moja kabla ndy maana anahusishwa na uchawi.Akilia juu ya paa la nyumba yako ni balaaKumbe
Na upenda tu
Hahaha kwani umesahau mkuu? Si wanaidharau kwa sababu tu ni Toyota ni kama watu wanavyozidharau hadi Samsung kwa sababu tu ni android hivyo wanazifananisha na viandroid vingine kama Tecno and co ndiyo hao watu wako walivyo!Hio chombo watu wanaichukulia kizembe sana yani wanahisi experience yake ni kama Vits
LC vxr v8 sio mchezo jamani labda hao hawajawai experience wanaongea tu kwa kutazama youtubeKabisa mkuu japo kuna Bimmer maniacs huwa hawataki kukubali hili. Kuna uzi kule wa Bimmer vs LC V8 jamaa alipost video anashindana na V8 yeye ndiyo alikuwa kwenye Bimmer V8 ikampita hadi leo ule uzi bado unatembea watu wanabishana tu Bimmer maniacs wameuvamia hatari.
Wenye mahaba na Bimmer watakuambia sijui oo kuna BMW X7 na 7 series zimeshazizidi hizo V8 kwenye kila kitu imagine eti kila kitu (mimi nakataa hapo kwenye kila kitu). Hata mimi kwa mjerumani naona hakuna anayemfikia BMW siyo MB siyo VW ila kwa LC tuseme ukweli mjapani kakataa kuwa mnyonge!
Duuh sijui kwanini haya makundi mengi ya muziki (hasa ya wanaume) lazima kuwe na mmoja anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja! Kuanzia West Life, sijui One Direction, mara Sauti Sol na hata The Mafik nao nahisi itakuwa hivi hivi tu duuh!Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.
Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling, ambapo aliwashirikisha wanajamii wa LGBT.
"Hakuna kujificha tena," aliambia vyombo vya habari vya ndani.
Alisema kwa sasa anaishi ukweli wake na atatumia muziki wake kupinga taasubi za kiume zenye sumu, chuki na unafiki.
Chimano hajawahi kujitokeza hadharani kama mpenzi wa jinsia moja ingawa hapo awali aliwahi kuonekana na wapenzi wa kiume.
Tamko hilo la hadharani linaweza kuwa kupiga jeki juhudi za kupigania haki za watu wa jamii ya LGBT nchini Kenya, ambapo mapenzi ya jinsia moja yameharamishwa na yanaweza kuadhibiwa kwa hadi miaka 14 jela.
View attachment 2038606
Achana na Depal na mawardat nilikuambia njoo uchukue zangu.Mimi wa kiume naona zinazingua Tu Bora ningekuwa na midevu km blue byser ningefunikaNi mimi pekee sina Dimpoziii
Cc.@Depal
Yeah Kyela micocoa kama yote mkuu. Hapo kwenye mwisho wa barabara ndiyo sijakupata vizuri mkuu sababu barabara ya kutoka Kyela hadi ziwani ni moja kwa moja haina vikwazo.Nimefika mwisho wa barabara nikashindwa kuendelea mbele.
Btw Hilo tunda ni Kakao (Cocoa).
Cacao inatengenezwa chocolateView attachment 2038602View attachment 2038603
Ila wewe.. si umeshasema umefunga malumbano? Haya yote ni juu ya nini tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu Kama hichoKuwa makini,usije kuwa Kama bundi.Bundi hunusa harufu ya mtu anayekaribia kufa hata wiki moja kabla ndy maana anahusishwa na uchawi.Akilia juu ya paa la nyumba yako ni balaa
Ingawa kitaalamu binadamu anapokaribia kufa seli za mwili wake ndy huanza kufa taratibu na zinatoa harufu ingawa Sisi binadamu hatuhisi, ndy mana bundi ana uwezo wa kuhisi kifo mapema sn kwenye nyumba yenye mgonjwa mahututi anayekaribia kufa
Sasa wewe unaupenda huo wimbo wa nimeachika wa hi amber Lulu,ukiulizwa unasema unaupenda Tu.angalia usije kuwa km bundi
Ni mfano Tu lkn
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Shida ni malezi mabovu unakosa hekima.Wekeni picha punguzeni mada za stupid white boy named Jesus.
Alafu juzi Tu hapa alipigwa banUna sura ya Upole ule utata huwa unautoa wapi
unajua kutongoza hadharani Kama hivi yataka moyo Ila sisi wajerumani tunakufa na tai tu na tupo tayari kupokea majibuWatu walishajilipua na wakajilipua nakuambia wamelipuka,wamelipukaaaaaa
Sawa Satoh..hata wewe unakosea pia.Usijibu post za hivi
Zitakufa naturally Tu ,ukijibu ndy mwanzo wa discussion madam Makiwendo
Potezea
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Aahh wanaangalia reviews za youtube halafu ndiyo wanakuja kutudanganya huku. Eti hakuna gari inaizidi BMW duuuuh!LC vxr v8 sio mchezo jamani labda hao hawajawai experience wanaongea tu kwa kutazama youtube
Sawa babeSina babe we ndo unaanza kunibikiri swiry
Sawa.Shida ni malezi mabovu unakosa hekima.
Huna budi kusamehewa.
Huyu nae anakera sasa!Ila wewe.. si umeshasema umefunga malumbano? Haya yote ni juu ya nini tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una macho ya kulegea sana 😛Achana na Depal na mawardat nilikuambia njoo uchukue zangu.Mimi wa kiume naona zinazingua Tu Bora ningekuwa na midevu km blue byser ningefunikaView attachment 2038676
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app