Dhambi zote ni sawa na zote zinasameheka endapo mtu atatubu.
Kinachotofautiana ni madhara ya dhambi
Mfano mtu aliyeuwa akitubu kwa Muumba atasamehewa,,ila jela duniani inamngoja.
Asipotubu ni motoni.
Mtu msengenyaji akutubu kwa Muumba atasamehewa,lakini yawezekana amesengenya duniani na hajabainika akaishi kawaida tu,,,
Asipotubu ni motoni.
Hakuna dhambi nzuri wala dhambi mbaya,
Dhambi zote ni aibu,,inategemea sasa mtu anaichukuliaje hiyo dhambi ila maandiko yako wazi kabisa na yameorodhesga zote kwenye aya moja ,,iwe uongo,uzinzi,ulevi.
Inashangaza kuona watu wanachomoa baadhi ya dhambi na kuziona zinafaa ila nyingine hazifai!