Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,859
Ndy nalala mkuu,nilikuwa natekeleza majukumu ya kitaifa usikuKalale![]()

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ndy nalala mkuu,nilikuwa natekeleza majukumu ya kitaifa usikuKalale![]()

Hii net ingekuwa nyeupe pangenoga hatareeeeee!!🤪🤪🤪
Good morning...Hii net ingekuwa nyeupe pangenoga hatareeeeee!!🤪🤪🤪
SelfikaMorning too!![]()
Sijaamka bado!! Vipi selfikamo nawewe basi!Selfika

Fungua kulee nimeselfikaaSijaamka bado!! Vipi selfikamo nawewe basi!![]()
Na leo off ,mwendo wa cha che chi cho chuuuuuuSijaamka bado!! Vipi selfikamo nawewe basi!![]()
Na leo off ,mwendo wa cha che chi cho chuuuuuu







! Usinikumbushe jamani ile kitu ni hataree!!! 


Usigongwee na kabatiLol ngoja niende fastaaa![]()
Mimi simooo , siri ya kambi shauri yako! Usinikumbushe jamani ile kitu ni hataree!!!
![]()
Niko makiniii...Usigongwee na kabati
Unakosaje sasa tena wewe expert kabisa!!!Mimi simooo , siri ya kambi shauri yako
Ushanisingizia sasaUnakosaje sasa tena wewe expert kabisa!!!
Unahusika sana tena sana tu!!!Ushanisingizia sasa
Bhasi ngoja nijifanye nahusika , kwani si ndo vizuriUnahusika sana tena sana tu!!!
Naona rafiki yangu unahangaika na watu waliohalalisha dhambi za kwao kutoziita dhambi ila za wengine wanaziona dhambi.Mkuu kwenye dini si nilishakuonesha andiko linalosema kwamba wazinzi na wafiraji wote hawataingia mbinguni? Sasa mbona kama unataka turudie this thing over and over again?
Mimi nishasema sikubaliani na ushoga! Lakini hadi kesho nitashangaa mtu anayeona ushoga ni dhambi mbaya zaidi kuliko hata kuua kiasi cha kuipa hiyo dhambi daraja lake!
Mkuu kila mtu abaki na anachoamini wewe kama ni mzinzi na unajiona uko safe zaidi kuliko shoga poa! Na hata ukiona ni sawa kumnyonga au kumchinja shoga afie mbali fresh tu!
Na mimi nabaki na msimamo wangu kwamba kama mimi ni mlevi napaswa niache ulevi na vile vile nikimuona shoga napaswa nimuambie aache ushoga kwa kuwa zote ni dhambi!
Kwa maana biblia imetutaka kutoa kibanzi kilichopo machoni petu kabla ya kutoa boriti kwenye macho ya watu wengine so naomba nifunge huu mjadala hivyo! Fainali judgement day!