Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwaheshima na taadhima naomba nichukue likizo ya kudumu kwenye huu uzi.Asante Mungu uzi haujafutwa japo dhoruba ilikuwa kubwa.
Asanteni washiriki wote na lile jeshi pendwa la "wanawake".
Mshana Jr nimechukua kitu kingine cha kuendea sokoni.
View attachment 1224059 kitu cha VL.
Na sasa naanza safari ya kuja kwako tujishindanishe viatu halafu utaleta matokeo.
Ila nilipenda tuu kusema "natembea nikiwa nimekaa. Hakikisha tunapokutana kuna parking nzuri. Nakuja pm.


View attachment 1224060
Wenye wivu hawataamini.
good day.
Naomba niwe Ben10 wako au dereva wako please.
 
Watu wanapost wakiwa na magari yao, acha nami niposti ikiwauma kivyao...

wengine benzi, wengine vitz ila pikipiki huku huzikuti....

Habari sio habari bila gari,,,huwezi kupata like ukiwa juu ya baiskeli...
IMG_20191005_151842_087.JPG
 
Back
Top Bottom