Selfika na JF: Snap it. Show it

Achana na wavuta bangi.
 
Ulcers ni mbaya, asikwambie mtu,,from wailes to sudani just for a snack ili viache kuuma,,, na dawa za mwezi mzima
View attachment 2031998

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana.
Mimi niliugua na nilipona bila kumeza hiyo dosage ya hospital maana niliona siwezi kuhimili mikiki yake.

Nilijitahidi kula mara kwa mara na vyakula laini ,nilipendelea zaidi mlenda.

Nilitumia unga wa mbegu la parachichi ndani ya wiki kadhaaa...
Pia nilifanya sana maombi kwa imani, hatimaye nikapona kabisa ndani ya miezi miwili tu
 
Daaaamn,, bi mkubwa kashapiga sana kelele kwenye parachichi mie ndo kwanza kama sisikii,,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…