Selfika na JF: Snap it. Show it

Amini amini nawaambia,kuna boya mmoja ana picha yako kwenye simu yake halafu yupo na marafiki zake anawaonesha huku anasema "Huyu ni mchumba wangu"
,wakat huo hujawahi hata kumsalimia hata mkikutana njiani


Mabaharia mpoo!! mnapangwa humu na ma manzi
 
tukutane PM... Nimeiona gearleaver... That one can tell it all.. Mimi sina makuu
 
Likizo inasababishwa na nin?
 
Nitakumiss sana,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…