Selfika na JF: Snap it. Show it

Akiwa anaongea na Mimi anaijifanya mlala Hoi

Mkuu Kijana wa hovyo hovyo kumbe Hadi kunduchi Kwa Wanene wenzio Una nyumba
Hahaaa huyo msimchukulie poa aisee. Hapa kanajifanya kamtu ka kawaida tu ila yeye mwenyewe pamoja na watu anao hang out nao siyo level zetu.

Sema namuelewa huwa hapendi show off. Ila ukimkuta kwenye anga zake kuna mada akichangia unaona kabisa huyu yuko vizuri sema anawazuga tu humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…