Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
๐๐๐ unazijua pesaaa ..Mil. 15
Mzima lakini mkuu wangu Karma
Leo nitakuwa kunduchi aseee nyumba kubwaaa ๐๐๐
๐๐๐ unazijua pesaaa ..Mil. 15
chimbo nini aseee ๐๐
Dah..Mimi sina la Kusema isipokuwa wacha tu nizidi kutafuta hela ili siku moja nije kufaidi mema ya nchi..mkuu Makiwendo siku nikizipata nikutafute ?๐
Unaosha Sura wapi Bob ?Mwanangu nimetumwa na mdosi, naoshea sura tu ๐๐๐
Mkuu hata lile ni la mdosi tulikuwa tumenaliza kuosha, kupigia ma picha ya kuotea watoto wa buza kwenye instagram ndio tunafanyaga hivyoo mkuu.. Usinitengee mkuu wote tunahitaji huruma ya kina DepalUnaosha Sura wapi Bob ?
Juzi Tu nimekuona umepost upo kwenye V8..wewe ninmshua bn๐
I miss you more sweetheart




Unampaje pesa boss wako aseee ni uvunjifu wa protocal huo ๐๐๐๐Hahaaa sasa mimi hunigaii kwa kupatia au ndiyo kwa vile offer ilikuwa ya mahondaw mi nimedandia tu
Mie mzima kabisa mkuu wangu sijui wewe
Safi sana ni vizuri kuwa na nyumba nyingi unabadili tu mazingira
Naomba WASIFU wa hii kitu
Ina Lemon taste, a fusion of crisp refreshment and fresh flavour, 4.5% alc/volNaomba WASIFU wa hii kitu
Aisee hii kitu kwenye maeneo yangu bado sijaiotea kabisa dah
Upo maeneo gani mkuu?Aisee hii kitu kwenye maeneo yangu bado sijaiotea kabisa dah
Akiwa anaongea na Mimi anaijifanya mlala HoiHahaaa sasa mimi hunigaii kwa kupatia au ndiyo kwa vile offer ilikuwa ya mahondaw mi nimedandia tu
Mie mzima kabisa mkuu wangu sijui wewe
Safi sana ni vizuri kuwa na nyumba nyingi unabadili tu mazingira
Nitafute Mkuu tuzipeleke KikobaDah..Mimi sina la Kusema isipokuwa wacha tu nizidi kutafuta hela ili siku moja nije kufaidi mema ya nchi..mkuu Makiwendo siku nikizipata nikutafute ?![]()

๐ฟ๐ฟ๐ฟ Sio kweli mkuu, tunazungumza kwa code mkuu wangu, naisha hapo nzese moja .. mie na kunduchi wapi na wapi.. tulikuwa tumaanisha naenda kuchukua chupa kule kunduchi beach huwa naziuza zile mkuuAkiwa anaongea na Mimi anaijifanya mlala Hoi
Mkuu Kijana wa hovyo hovyo kumbe Hadi kunduchi Kwa Wanene wenzio Una nyumba
Asante mkemia nitaitafuta,, ni local ama intIna Lemon taste, a fusion of crisp refreshment and fresh flavour, 4.5% alc/vol
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
MkemiaAsante mkemia nitaitafuta,, ni local ama int
