Tulibadilishana na majina.
Akaajiita Saint Jack,nikajiita Anne Palladino.,
Nikawa namwaga hadi mashairi mtoto wa watu kama mwanahiphop vile,
Nikamwandikia na maujumbe ya mahaba kwa mwandiko wangu mzuuri ..
Tulibadilishana na majina.
Akaajiita Saint Jack,nikajiita Anne Palladino.,
Nikawa namwaga hadi mashairi mtoto wa watu kama mwanahiphop vile,
Nikamwandikia na maujumbe ya mahaba kwa mwandiko wangu mzuuri ..
Usijisifu kwa ajili ya kesho wewe mwanadamu;maana haujui yatakayozaliwa kwa usiku mmoja..
Mwingine na akusifu wala si kinywa chako wewe mwenyewe,
Mtu mgeni wala si midomo yako wewe mwenyewe.