Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,632
Hahahahah mshike mshike ndege tunduni toka mwezi juzi 😅120k nilinunua ni mda sana nikawa sizitumii nikaona ni mgee toka mwezi wa tisa tunapishana kila siku
Hahahahah mshike mshike ndege tunduni toka mwezi juzi 😅120k nilinunua ni mda sana nikawa sizitumii nikaona ni mgee toka mwezi wa tisa tunapishana kila siku
Hahahahah mshike mshike ndege tunduni toka mwezi juzi![]()


ni mshikaji wangu tu uyu sio ndege tunduniUkila uje kimya kimya dmna unieleze ukuu wa bwana! Earpods sio chini ya elfu 80!

Huyo wa mwisho ni Mimi kabisa..... Ha ha ha
Huyu punda kafanana mdomo na waziri mmoja wa kike wa JMT.
Depal una manyonyo mazuri yamevimbaaa.
Sehem gan?ndo mitaa yangu ya kihome.Njoo hapa ubungo maji nakusubiri![]()

There must be a legend somewhere hana habari km shule inaendelea anagutuka siku ya mtihani
View attachment 2020569



kimeumana.Chaaaah!
Tunapeana earpods tu..
Tena katikati ya barabara,kwenye stand ya mwendokasi![]()




Weuweeeeeh, songea 1 hii, ubaga huu, ili iwe komoni, home kweaaah.


Au utawapa feedbackkumekucha kumekucha

Waache umbeaItabaki sili yetu watu wakae kwa kutulia![]()
