Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizo ndio nzuri na utapata mume anayezipenda hizo hizo usijali.
Na zinakupendezea wanaokuponda hawajui tuu.
Na pia wanaume wanazipenda sana hizo tofauti na hizi zetu.
 
Hizo ndio nzuri na utapata mume anayezipenda hizo hizo usijali.
Na zinakupendezea wanaokuponda hawajui tuu.
Na pia wanaume wanazipenda sana hizo tofauti na hizi zetu.
Ewaaa...Bora umenisapoti kuwa Ni nzuri.
SI wananionaga mbibi.
Mimi sayansi na teknolojia imeniacha mbali Sana
+kukulia kijijini yaani mtu haniambii chochote
 
Usiwasikilize mdogo wangu.
Usiwasikilize kabisa. Nguo zako ni zuri ,zinakupendeza,zinaendana na mwili wako.
Nguo za kisasa sio lazima ziwe suruali za kuchanwa chanwa kama niliyovaa dada yako leo, watu wamekariri tuu.
Wewe haujaona kila picha uliyoituma imetisha?
Hao wanaokuona mbibi wamekariri tuu hawajui kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…