Ikiwezekana kapigeni tu vyombo kwanza mkuu.
Kuna gari imeziba njia hapa darajani katikati ya Iyunga na njiapanda ya Itende.
Na pale hata kupita pembeni haiwezekani maana kulia na kushoto ni korongo lisilo hata na uzio.
Shalom greencity
Shalom Mbeya
Jiji kubwa ila ina Barabara moja tu,tena iliyo finyu mno.
NB
Hivi si ni wewe ulisema utanipa lift?
Mbona unapita kimya mkuu??
Nipakilie basi japo maparachichi yangu,ntayakutaga mbezi.