Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,752
- 21,974
Ndo manaake, masuala ya hangaya anaupiga mwingi tuyaache tutazame kazi za ujenzi wa taifa.Hii nchi inataka kiumbe wa hivi, hizi nyanya zinazoongoza hapa zinaturudisha nyuma sana.
Ndo manaake, masuala ya hangaya anaupiga mwingi tuyaache tutazame kazi za ujenzi wa taifa.Hii nchi inataka kiumbe wa hivi, hizi nyanya zinazoongoza hapa zinaturudisha nyuma sana.
🤣🤣🤣🤣Sasa mzee akukute hata ile mouse unaichezea,,,alinivuruga nkaaza kupiga yowe kama ka mbwa kanakata roho
![]()
Haijalishi nani alifanya nini, sema tu ni kuwa cheo chake kipo moja kwa moja kwenye kofia yake hapo hiyo ngao ya raisMbona hata ya mwendazake ilikuwa kama hivyo hivyo mkuu
He is an idiot who is overrated.Umgabho om-Rwanda,
akili kubwa in the whole great lakes regionView attachment 2013198
I don't believe it 😛😛....but thañks for reminding me of my silver Siemens 😅😅😁😂😂😂
Mi pia ni digital inmigrant kama wewe...
Nimemiliki simu voucher inaitwa dola...acha wewe...
Nice puppies.Beauties #RoitwellersView attachment 2013265
Why is he overrated? Why not some of the fools from Tanganyika?He is an idiot who is overrated.
Niamini na sijaona 🙄🙄.....you wiiiish 😁Umeamini sasa mie noma...
😁😂😁
Dah mkuuWhy is he overrated? Why not some of the fools from Tanganyika?
The man is an intelligent compared to the rest of useless presidents in E.A and Central Africa

Ukisikia blind adoration ndo hiyo wanayoonyeshaga kwa mshkaji 😏He is an idiot who is overrated.
Nimejikita tu kwenye shingo yake.
Wamo akina Hangaya, Museveni, n.kDah mkuu
Hebu toa mifano michache ya hao unaowaita useless presidents.



Hangaya ni nani mkuu?Wamo akina Hangaya, Museveni, n.k![]()

HatersUkisikia blind adoration ndo hiyo wanayoonyeshaga kwa mshkaji![]()

Ukisikia blind adoration ndo hiyo wanayoonyeshaga kwa mshkaji 😏
Unaishi Tz na humjui chief Hangaya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hangaya ni nani mkuu?
Kwahiyo na Museveni naye yumo?
Hiyo n.k ni wepi hao?
Huyo mzika majeneza tupu naye yumo,Hangaya ni nani mkuu?
Kwahiyo na Museveni naye yumo?
Hiyo n.k ni wepi hao?
Nimeuliza makusudiUnaishi Tz na humjui chief Hangaya![]()

,mimi nimelijua juzi juzi.