Selfika na JF: Snap it. Show it

labda uyainishe kwan, huenda store nna kitu hutajika kwako.
Tako/mat..oka ni siraha tosha kabisa kwangu kuchochea kutoa hela/fedha/pesa kwa demu/mwanamke pindi anapoomba(hata sipoombwa huwa natoa tu)

Rangi nyeupe haswa(hakuna rangi ya maji ya kunde ni umasikini tu)

Vi chuchu kiasi siyo mara milk au tanga fresh

Mguu/guu fulani amazing

Urefu fulani hivi(mfano sina)

Karibu Bia
 
kwenye rangi hapo tyuuh mie hoi, wee ngoshaa n nooma.
 

Kweli kuna jamii flani unakuta vitoto vinalewa, mtu kaanza kulewa ana miaka 9... hawa ndio baadae wanakuwaga tester kwenye viwanda vya pombe
...
songea kwetu, ulanzi had watoto wa 3yrs wanakunywa, tena wananywesha kusud na ili walewe, wazaz waendelee na mamb mengne, ulanzi mtamuuu,
Mie nakunywa dumla nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…