That's very true, kuna serving kubwa inafanyika kwa kula Mamantilie than Kujipikia ingawa lazima uji limit kwenye bei.
Sio unakula Mamantilie ya shilingi 4,500 kwa msosi, manake ukila mchana na usiku unajikuta umeshatumia 10,000 sawa na shilingi 300,000 kwa mwezi. Ikifikia huko bora ujipikie tu magethoni.
All in all, wakati huu ndiyo wakati wa kujichanga na kuwekeza kabla hujaanza maisha ya ndoa ambayo yanakujaga na gharama zake.