labda komoni,na myakaya, ila ulanzi huongei chchte,
Had wanafunz wanakunywa na unanoga sukari, ila unalewa sana hahah, waliosoma au kuish songea wanajua.
Mbeta n vipande vya mianzi inachongwa km umbo la jagi, ila lenyew haliwekew kale kadudu ka, kutiririsha maji, inakua round, ila inatobolewa kat kat tundu la kupitishia ulanz ktok kweny muanz,
Huo muanzi unakua umekomaa na unakua na maji, sasa yakishakua meng yanatiririka ktk mbeta ukichelewa kuyatoa yanakauka au yanapungua,