Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kuwa amehitimu Chuo mwaka 2019 manake atakuwa amezaliwa mwaka 1996.

Akibisha nitamuitia wale mabinti aliocheza nao ukuti ukuti waje wathibitishe


Saint Anne


Chuo ndio kitu gani mkuu. ?

Niliishia fom fooo,nikazungusha yai langu nikaenda kukaanga nyumbani.
 


Chuo ndio kitu gani mkuu. ?

Niliishia fom fooo,nikazungusha yai langu nikaenda kukaanga nyumbani.
Uzuri wake nimebahatika kuonana na wale mashosti zako wa utotoni akina Mary, Atuganile na Princess.

Ukiendelea kubisha nitawaita wakuelezee mlicheza Kimama Mama mwaka gani 😀😀
 

Kumbe mianzi ina sukari? Hio mbeta ndio nini? Nipe elimu hapo
Mbeta n vipande vya mianzi inachongwa km umbo la jagi, ila lenyew haliwekew kale kadudu ka, kutiririsha maji, inakua round, ila inatobolewa kat kat tundu la kupitishia ulanz ktok kweny muanz,
Huo muanzi unakua umekomaa na unakua na maji, sasa yakishakua meng yanatiririka ktk mbeta ukichelewa kuyatoa yanakauka au yanapungua,

Ulanzi mtamu hatareeeeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…