Ahsante kwa somo cc angu, mie nlikua najua ni dhehebu eti.Uwata siyo dhehebu.
Ni uamsho ambao mtu wa dhehebu lolote anaruhusiwa kujiunga.
Mtu anabaki na dhehebu lake na ataendelea kusali dhehebuni kwake kama Kawaida ila atatakiwa aende huko faraghani kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamba ana very powerful bite ever, hakuna mnyama i think anaweza kung'ata kwa nguvu kama mamba, jaws zake ni very powerful and tough,
Mkia wake ndio chanze cha yeye kuogelea majini ukiwa kama propeller kumsogeza mbele, so ni very powerful..
Unless kama umechoka kuishi, huo mkia akikupchapa nao... ni hospitali...
Hii si weed?[emoji3064][emoji3064][emoji3064]View attachment 2003484
Mweeee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Najua na hii inakuhusu mtakatifu
View attachment 2003528
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Safi [emoji1534][emoji1534][emoji1534]
Kesho niweka pumzi ili unikamilishe nitokee [emoji16]
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] punguza moto cc,
Hapana.Ahsante kwa somo cc angu, mie nlikua najua ni dhehebu eti.
Wee ktk maisha yangu, xwez kuingia na karatas ktk chumba cha mtihan, yaan nkfka mlangon mwenyew natoa na kutupa.[emoji38][emoji38]
Usije ukajaribu kuingia na karatasi.
Huo ni uhujumu mitihani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku ukikaribu kuwaiga maexpert wa madesa aiseee utalia na kusaga meno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nijaribu sku 1,sjajua dar wako sehem gan.Hapana.
Hata wewe unaruhusiwa tu kujiunga[emoji4]
Dhehebu lako linabaki palepale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu maexpert huwa hawakamatwi.Wee ktk maisha yangu, xwez kuingia na karatas ktk chumba cha mtihan, yaan nkfka mlangon mwenyew natoa na kutupa.
Swez hicho kitu na sitokaa nifanye, natumia uwezo wangu binafsi, ila wapo makonk had michoro wanaingia nayo mweeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zipo ila chache mno.Ngoja nijaribu sku 1,sjajua dar wako sehem gan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cc usnchekeshe, nmekmbka o kevel kna mtu alkua anaingia na karatas yaan anakua free kabsa na hakamatwi,Halafu maexpert huwa hawakamatwi.
Wenzangu na mimi sasa tunaojaribu [emoji38].
Najikuta narudi Uyole kulima viazi [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ubungo sehem gan? Maan n karibu tyuuh kumbe.Zipo ila chache mno.
Moja ipo tabata,nyingine ubungo,kuna nyingine 3 pia.
Nitakusindikiza ukitaka[emoji4] ukachemke faraghani,,unajua kuchemka?[emoji847]
Mimi kwa sasa siingiii,ni mwanauwata nilikengeuka[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo tunakutegemea jukwaa la burudani ulitendee haki.Ubuyuuuuuh pambeeeeeeeh,
Boss na wake zake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
RIP binamu warumi, leo mambo wazi wazi. WeuweeeeeeehView attachment 2003577
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cc usnchekeshe, nmekmbka o kevel kna mtu alkua anaingia na karatas yaan anakua free kabsa na hakamatwi,
Pepa la 4m 4 national, katembeza karatas mitihan yote [emoji23][emoji23][emoji23] katok na 1 ya 16,akaenda zake advance, now yko SUA, sjui km kaacha hii tabia,
Ngoja ntakupa location nikishauliza wapendwa wenyeji.Hii ubungo sehem gan? Maan n karibu tyuuh kumbe.
Hatari sana hii[emoji3064][emoji3064][emoji3064]View attachment 2003484