Selfika na JF: Snap it. Show it

kumbuka tangu baba mzee mugu anakufa/

alitusihi uaminifu ndio nguzo uliyoiangusha/

nashangaa bado nafsi yako haijasuta

natamani kukujali mdogo wangu/

sometimes nakwenda mbali natamani kukudhuru busara/ inaniweka huru
Sio poa asee 🔥🔥

Ulikataa kusoma chuo ng'ambo ili ubaki kula ninapokula
 
That last verse😂 looh huyu ni mbabe hasa.

Sijawah sikiza nyimbo zake, nimemjulia humu JF hata sura yake siijui eti! Itabidi nimtafute nimskilize
 
vile hunioni kwenye makundi ya bar....

bahati nzuri hujawai skia nikizushiwa uzushi kitaa

nakununulia rubi kadhaaa unahisi nakujali

kumbe unampgia mbuzi gitaa

sometimes unanisongea nguna au wali

ukidhani mimi najali ilihali sijali na sina wazo la kukuonea hruma


aah

nashiriki na ww nyakati twitter mpaka instagram

picha unanitag drunken love
 
Break fast Zanzibar..
Me najua tunainza safari, kumbe unaniandalia maumivu makali

Nyie wanaume hamfai 🤣🤣
 
Aisee Kuna dude linaitwa KANISA la dizasta vina ni kwikwi
 
Break fast Zanzibar..
Me najua tunainza safari, kumbe unaniandalia maumivu makali

Nyie wanaume hamfai
breakfast zanzibar

haimaanishi kwamba tunaianza safari

nakuandalia maumivu makali

nahitaji nikuguse

ili kila unachoona kiwe kinafanya unikumbuke ni hatari


inaitwa zoea nanga kabla haijang'oa

heshimu mvua kama bado hujaloa


jicho la tatu hauna funguo jicho la pili...


utagundua kila ninachofanya ni batili...


huyu dizanta ni katili sana kaamizwa na manz mwingine anakuja kumpa maumivi manz mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…