Selfika na JF: Snap it. Show it

SOMA NENO LA MUNGU


Mhubiri 7 : 8 -11

8 Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.

9 Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.

10 Usiseme, Kwani siku za kale kupita siku hizi? Maana si kwa hekima uulizavyo neno hilo.

11 Hekima ni njema, mfano wa urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionao jua.

Mbingu Ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…