Nice..umepika mwenyewe?View attachment 1993419
Jumapili yangu
Kwema kabisa mkuuMkuu T 1990 ELY kwema kabisa?
Aisee ni uyoga kabisa?
Watu mna mapigo
Kuna jamaa humu anaitwa mbalizi1 aliniambia kazi ya hio asali inaitwa UPULA..
Nilikuwa nayo ndani kama lita 5 lakini sikujua matumizi yake..
Nimeinywa siku ya 5 leo, aisee network ile asubuhi naamka inasoma 4G LTE ikifika mida ya mchana ngoma inasoma mpaka 5G network bar zipo full
Yaani mkuu unaweza kupigia na push up kabisa, ngoma imekakamaa haitaki maelezo halafu inakuwa kama ina twitch hivi..
Nimeamua niachane nayo aisee, haya ni mateso sasa..







Mhh...nilikua Songea siku chache zilizopita i wish ningekucheki

Kweli?Mhh...nilikua Songea siku chache zilizopita i wish ningekucheki
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣
Karibu tena,Karibu sana,siye tupo
Umeona UPULA kazi yake si ya kitoto![]()
Doctor?

. Sasa hapo ingekuwa unakula karanga mbichi kwa wingi halafu unashushia na glasi ya maziwa fresh, weeeeeeeeeee!!Umeona t..ako ukaanza kujiraumu bora ungemcheki ulijua/dhani mawardat ni flat screen Hahahahaha natania tu.......Mhh...nilikua Songea siku chache zilizopita i wish ningekucheki
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Namjua vzr huyuUmeona t..ako ukaanza kujiraumu bora ungemcheki ulijua/dhani mawardat ni flat screen Hahahahaha natania tu.......



🤣🤣🤣🤣Umeona UPULA kazi yake si ya kitoto. Sasa hapo ingekuwa unakula karanga mbichi kwa wingi halafu unashushia na glasi ya maziwa fresh, weeeeeeeeeee!!
Kwa kweli kaumbika sana kwa nyuma ana ugonjwa wetu/wangu mkuu
Hahaha.....fanya urudi mkuu