Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_1558.jpg

Jumapili yangu
 
[emoji50]
Aisee ni uyoga kabisa?
Watu mna mapigo[emoji1787]

Kuna jamaa humu anaitwa mbalizi1 aliniambia kazi ya hio asali inaitwa UPULA..
Nilikuwa nayo ndani kama lita 5 lakini sikujua matumizi yake..
Nimeinywa siku ya 5 leo, aisee network ile asubuhi naamka inasoma 4G LTE ikifika mida ya mchana ngoma inasoma mpaka 5G network bar zipo full[emoji1787][emoji1787]

Yaani mkuu unaweza kupigia na push up kabisa, ngoma imekakamaa haitaki maelezo halafu inakuwa kama ina twitch hivi..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimeamua niachane nayo aisee, haya ni mateso sasa..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom