Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_1558.jpg

Jumapili yangu
 

Aisee ni uyoga kabisa?
Watu mna mapigo

Kuna jamaa humu anaitwa mbalizi1 aliniambia kazi ya hio asali inaitwa UPULA..
Nilikuwa nayo ndani kama lita 5 lakini sikujua matumizi yake..
Nimeinywa siku ya 5 leo, aisee network ile asubuhi naamka inasoma 4G LTE ikifika mida ya mchana ngoma inasoma mpaka 5G network bar zipo full

Yaani mkuu unaweza kupigia na push up kabisa, ngoma imekakamaa haitaki maelezo halafu inakuwa kama ina twitch hivi..

Nimeamua niachane nayo aisee, haya ni mateso sasa..
 
Back
Top Bottom