Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni tamu sana
Yaani naona ndio nzuri kuliko zile zote.

Naomba uendelee kuniorodheshea na nyingine nkamu.
Nitakuwa nanunua Moja Moja.

Nanukia Yani hadi ninaokaa nao wanasema nitawaletea majini .
Kale kanivea kangu nimekapumzisha Kwa muda,dokta wangu wa pua anisamehe tu Kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa nitaitafuta next weekend nikiwa nimetulia.

Nkamu nitakuorodheshea za usiku, mchana, za Outing ,za kidate.


Nukia Nkamu..,kunukia kuna raha yake bwana...tena ukiwa nazo nyingi utakaa nazo sana,
 
Sawa nitaitafuta next weekend nikiwa nimetulia.

Nkamu nitakuorodheshea za usiku, mchana, za Outing ,za kidate.


Nukia Nkamu..,kunukia kuna raha yake bwana...tena ukiwa nazo nyingi utakaa nazo sana,

Ewaaa,
Siku naenda Kwa shemeji yako nanukia kimahaba mahaba.

Wacha tunukie,maisha ndio hayahaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello Saturday
20211030_202001.jpg
 
Back
Top Bottom