Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,419 Oct 24, 2021 #112,961 Mshana Jr said: View attachment 1985400 Click to expand... Mbegu za Monsanto ama?
100 others JF-Expert Member Joined Aug 5, 2017 Posts 8,791 Reaction score 30,985 Oct 24, 2021 #112,962 Mshana Jr said: View attachment 1985400 Click to expand... Kama kweli haya mahindi yapo, basi ugali mweusi upo😁
Mshana Jr said: View attachment 1985400 Click to expand... Kama kweli haya mahindi yapo, basi ugali mweusi upo😁
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Oct 24, 2021 #112,963 Saint Anne said: Sawa boss. Click to expand... Sawa mpendwa Karibu Anne
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Oct 24, 2021 #112,964 and 100 others said: We kweli dereva kwa hio ukiona tundu au shimo barabarani wakati upo kwenye gari lazima ulilenge.. haya bwana angalia usije pata ajali, mashimo mengine sio Click to expand... Hahaha...na maanisha matundu/mashimo ya Gia
and 100 others said: We kweli dereva kwa hio ukiona tundu au shimo barabarani wakati upo kwenye gari lazima ulilenge.. haya bwana angalia usije pata ajali, mashimo mengine sio Click to expand... Hahaha...na maanisha matundu/mashimo ya Gia
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 24, 2021 #112,965 T 1990 ELY said: Sawa mpendwa Karibu AnneView attachment 1985451 Click to expand... Hiyo siwezi kunywa mkuu. Inanoga kama energy drink zile za jero..ishanishinda kitambo. Mimi nipe grand malt.
T 1990 ELY said: Sawa mpendwa Karibu AnneView attachment 1985451 Click to expand... Hiyo siwezi kunywa mkuu. Inanoga kama energy drink zile za jero..ishanishinda kitambo. Mimi nipe grand malt.
donlucchese JF-Expert Member Joined Mar 23, 2011 Posts 17,257 Reaction score 22,131 Oct 24, 2021 #112,966 SHIMBA YA BUYENZE said: Kama wana misambwanda ndevu siyo tatizo kivile Click to expand...
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Oct 24, 2021 #112,967 Saint Anne said: Hiyo siwezi kunywa mkuu. Inanoga kama energy drink zile za jero..ishanishinda kitambo. Mimi nipe grand malt. Click to expand... Sawa Nipe/nielekeze utaratibu wa kukupa Grand Malt unywe mkuu.
Saint Anne said: Hiyo siwezi kunywa mkuu. Inanoga kama energy drink zile za jero..ishanishinda kitambo. Mimi nipe grand malt. Click to expand... Sawa Nipe/nielekeze utaratibu wa kukupa Grand Malt unywe mkuu.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 24, 2021 #112,968 T 1990 ELY said: Sawa Nipe/nielekeze utaratibu wa kukupa Grand Malt unywe mkuu. Click to expand... Nipo nyumbani mkuu. Unaweza kuniletea hiyo grand malt au ukaniletea hela nikanunue. Mpesa yangu na Airtel money yangu pia ipo wazi kabisa tayari kwa kupokea muamala.
T 1990 ELY said: Sawa Nipe/nielekeze utaratibu wa kukupa Grand Malt unywe mkuu. Click to expand... Nipo nyumbani mkuu. Unaweza kuniletea hiyo grand malt au ukaniletea hela nikanunue. Mpesa yangu na Airtel money yangu pia ipo wazi kabisa tayari kwa kupokea muamala.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 24, 2021 #112,969 donlucchese said: Hivi kwanini wanawake wengi wanyakyusa wana ndevu? Click to expand... Ulimuona nani na nani mkuu?
donlucchese said: Hivi kwanini wanawake wengi wanyakyusa wana ndevu? Click to expand... Ulimuona nani na nani mkuu?
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Oct 24, 2021 #112,970 Saint Anne said: Nipo nyumbani mkuu. Unaweza kuniletea hiyo grand malt au ukaniletea hela nikanunue. Mpesa yangu na Airtel money yangu pia ipo wazi kabisa tayari kwa kupokea muamala. Click to expand... Naomba namba yako ya M-pesa nikutukie hela ununue hiyo Grand Malt mpendwa
Saint Anne said: Nipo nyumbani mkuu. Unaweza kuniletea hiyo grand malt au ukaniletea hela nikanunue. Mpesa yangu na Airtel money yangu pia ipo wazi kabisa tayari kwa kupokea muamala. Click to expand... Naomba namba yako ya M-pesa nikutukie hela ununue hiyo Grand Malt mpendwa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 24, 2021 #112,971 T 1990 ELY said: Naomba namba yako ya M-pesa nikutukie hela ununue hiyo Grand Malt mpendwa Click to expand... Sawa ngosha nitakupa. Mungu akubariki mno. Nikupe sasahivi au muda unaotaka kutuma??
T 1990 ELY said: Naomba namba yako ya M-pesa nikutukie hela ununue hiyo Grand Malt mpendwa Click to expand... Sawa ngosha nitakupa. Mungu akubariki mno. Nikupe sasahivi au muda unaotaka kutuma??
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Oct 24, 2021 #112,972 Saint Anne said: Sawa ngosha nitakupa. Mungu akubariki mno. Nikupe sasahivi au muda unaotaka kutuma?? Click to expand... Amina Ng'wanike(Mhayo) Nipe sasa hivi badae naweza kusahau maana tayari nimekwambia nikutumie.
Saint Anne said: Sawa ngosha nitakupa. Mungu akubariki mno. Nikupe sasahivi au muda unaotaka kutuma?? Click to expand... Amina Ng'wanike(Mhayo) Nipe sasa hivi badae naweza kusahau maana tayari nimekwambia nikutumie.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 24, 2021 #112,973 T 1990 ELY said: Amina Ng'wanike(Mhayo) Nipe sasa hivi badae naweza kusahau maana tayari nimekwambia nikutumie. Click to expand... SAWA.. Nakupa wapi Sasa?
T 1990 ELY said: Amina Ng'wanike(Mhayo) Nipe sasa hivi badae naweza kusahau maana tayari nimekwambia nikutumie. Click to expand... SAWA.. Nakupa wapi Sasa?
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Oct 24, 2021 #112,974 Saint Anne said: SAWA.. Nakupa wapi Sasa? Click to expand... Popote pale utakapoona panafaa na penye usalama zaidi kutuma Anne
Saint Anne said: SAWA.. Nakupa wapi Sasa? Click to expand... Popote pale utakapoona panafaa na penye usalama zaidi kutuma Anne
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 24, 2021 #112,975 SHIMBA YA BUYENZE said: Kama wana misambwanda ndevu siyo tatizo kivile Click to expand... Dah umeshindikana wewe Yaani hadi ndevu unazikubali kisa tu mwanamke ana msambwanda
SHIMBA YA BUYENZE said: Kama wana misambwanda ndevu siyo tatizo kivile Click to expand... Dah umeshindikana wewe Yaani hadi ndevu unazikubali kisa tu mwanamke ana msambwanda
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,419 Oct 24, 2021 #112,976 Karma said: Dah umeshindikana wewe Yaani hadi ndevu unazikubali kisa tu mwanamke ana msambwanda Click to expand... Siwezi kumnyanyapaa mwanamke mwenye msambwanda kisa eti ana ndevu. Navaaa
Karma said: Dah umeshindikana wewe Yaani hadi ndevu unazikubali kisa tu mwanamke ana msambwanda Click to expand... Siwezi kumnyanyapaa mwanamke mwenye msambwanda kisa eti ana ndevu. Navaaa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 24, 2021 #112,977 T 1990 ELY said: Popote pale utakapoona panafaa na penye usalama zaidi kutuma Anne Click to expand... Karma Au Jack Palladino Nichukulieni hela hii,nitaikuta kwenu. Au ngoja niende kwa wakala nimuombe utume Moja Kwa moja kwake ili kuepuka makato ya mimi kutoa.
T 1990 ELY said: Popote pale utakapoona panafaa na penye usalama zaidi kutuma Anne Click to expand... Karma Au Jack Palladino Nichukulieni hela hii,nitaikuta kwenu. Au ngoja niende kwa wakala nimuombe utume Moja Kwa moja kwake ili kuepuka makato ya mimi kutoa.
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Oct 24, 2021 #112,978 SHIMBA YA BUYENZE said: Kama wana misambwanda ndevu siyo tatizo kivile Click to expand... Halafu mwanamke/wanawake wenye ndevu huwa wa...t###amu sana kunako. Eng'washi bhageshi
SHIMBA YA BUYENZE said: Kama wana misambwanda ndevu siyo tatizo kivile Click to expand... Halafu mwanamke/wanawake wenye ndevu huwa wa...t###amu sana kunako. Eng'washi bhageshi
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Oct 24, 2021 #112,979 Saint Anne said: Karma Au Jack Palladino Nichukulieni hela hii,nitaikuta kwenu. Au ngoja niende kwa wakala nimuombe utume Moja Kwa moja kwake ili kuepuka makato ya mimi kutoa. Click to expand... Hapana usiite mtu/watu wakuchukulie hela Hapana siogopi gharama yoyote ile kukutumia hela ya Grand Malt Pm yangu iko wazi kupoke kile utakacho tuma mpendwa
Saint Anne said: Karma Au Jack Palladino Nichukulieni hela hii,nitaikuta kwenu. Au ngoja niende kwa wakala nimuombe utume Moja Kwa moja kwake ili kuepuka makato ya mimi kutoa. Click to expand... Hapana usiite mtu/watu wakuchukulie hela Hapana siogopi gharama yoyote ile kukutumia hela ya Grand Malt Pm yangu iko wazi kupoke kile utakacho tuma mpendwa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 24, 2021 #112,980 T 1990 ELY said: Hapana usiite mtu/watu wakuchukulie hela Hapana siogopi gharama yoyote ile kukutumia hela ya Grand Malt Pm yangu iko wazi kupoke kile utakacho tuma mpendwa Click to expand... Utatuma na ya kutolea? Mimi naogopa gharama ya kutolea ndiyo maana nataka niikwepe kwa kuingiza kwa wakala moja kwa moja .
T 1990 ELY said: Hapana usiite mtu/watu wakuchukulie hela Hapana siogopi gharama yoyote ile kukutumia hela ya Grand Malt Pm yangu iko wazi kupoke kile utakacho tuma mpendwa Click to expand... Utatuma na ya kutolea? Mimi naogopa gharama ya kutolea ndiyo maana nataka niikwepe kwa kuingiza kwa wakala moja kwa moja .