Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Tofauti na Kwetu Mbeya,saa 3 daladala zishaisha .Wow
Uzuri wa DSM Usafiri upo hadi alfajiri jirani.
Badala ya tano nikuwekee 6 best ili 3 ziwe za moto na tatu ziwe za baridi, sema ndiyo nimtume mjukuu akafate
Hahaha ningekuwa free ningekutafuta mkuu ila si unajua tena masikini hatunaga weekend wala sikukuu kwenye utafutaji. Ila usihofu mkuu nafasi ikipatikana tutaonana tu!Of course hata Mimi kile kiharufu cha kuku ndiyo huwa sikipendi na nimekuwa mpenzi wa kuku wa kuchoma zaidi kuliko wa kuunga.
Fanya kunipigia tukapate Makange ya kuku hapo jirani na kilaji ili Maulidi yako iishe vizuri. Jirani kupeana atii
Ha ha ha ha tatizo chenga nyingi wewe black ladyLOH!!Sasa mbona ukaanzia mbali hivyo??π Siungesema tu mapema ππ
Ila napo ujue kupiga picha nzuri sio nitokee sieleweki π€¨π€¨.......ndo company inakubalika!!
Hii kitu Mimi sijaipenda ,nimeona ipo very overatedSijawahi kupenda wala kutazama series zozote za Korea, hii Squid kwa mara ya kwanza ndio naitazama, wako vizuri..
Tena hapo kuna mtu kaniambia ipo vizuri Sana niicheki, kucheki 1st episode Basi nimejikuta nipo S01E07..
Dodoma ndiyo yenyewe kwa kuku choma. Ipo all over Kwa bei rahisi sanaHaha huwa sipendi unless zichomwe vizuri nisisikie shombo! Mfano nilikuwaga sili kabisa kuku wa kuchoma ila kuna sehemu kule Dodoma kuku zao za kuchoma ni Hatari na nusu ndiyo pakanifanya nianze kupenda kuku za kuchoma!
Dooh sikukuu yenyewe Tupo tupo tu ndugu yangu
Asante Sana mkuu.
Kumbe hata wenye matege tuna miguu mizuri eeh!!
Hili ukiweka geto ni kuwaka tu kila siku usiku
Mwananchi epuka utapeli, sunset ndio hii..
Kwani umeingia job mchana huu?Hahaha ningekuwa free ningekutafuta mkuu ila si unajua tena masikini hatunaga weekend wala sikukuu kwenye utafutaji. Ila usihofu mkuu nafasi ikipatikana tutaonana tu!
Yaani ni kuwasha Moto mpaka mtu annenda kuuliza kwa watu kukuhusu halafu wanamjibu huyo Dada/kaka hanaga ukorofi itakuwa umemchefua tuHakika mkuu yale masuala ya kusema eti mtu akikupiga shavu moja mgeuzie na jingine nalo apige yameshapitwa na wakati. Siku hizi ukipiga mtu kofi yeye anakupiga ngumi.
Kama na mimi naingia hilo kundi basi itakuwa la wote.Utege hauonekani hapo nimeangalia ujazo ,shape na skin texture.... Unaingia kwenye kundi la miguu mizuri kabisa
Nichukue pesa halafu uje unikamate kwa kesi ya copyright na kutumia picha zako kufanya biashara? Nani anataka kadhia za kukaririshana PGO..ππππππ
Mie Tomaso nahitaji kuona ili niamini πππ
Alafu unazingua π€¨π€¨Unakataaje hela sasa???π Au ilikuwa kidogo sana??? Coz kama sio, tungeweza kabisa kwenda kukodisha farasi tukafanya bonge la photoshoot mida ya sunset na mishkaki tukala π€π
Kitu kipi kimefanya usiipende? Mfano Mimi movie za super hero nilikuwa sizielewi kabisa, lakini siku hizi naziwatch fresh tu na na enjoy cause movie yoyote ukitaka saaana uhalisia utajikuta huenjoy, ili uende sawa na movie we jiweke mkao wa kuamini kinachoonyeshwa ni ukweli na usikae kukaa kiukosoaji zaidi, we kaa utazame kwa ku enjoy zaidi, ule uongo kwenye FF9 wa kubaka laws za physics ujue ndio utamu wenyewe sasa..Hii kitu Mimi sijaipenda ,nimeona ipo very overated
Mkuu leo unasheherekea Maulid nini?πππ