My Flav. Kuna siku nlikua nasafiri nikanunua fasta fasta kumbe nimepewa Flav. Ya onion, aisee ilibidi nimpe mhehe mmoja pembeni yangu mbele nikanunua chilli crips ndio nikaishi nazo. Ukiacha home, napokua safarini napenda sana kula snacks. Ngoja nikatafute maziwa nijigongee cornflakes