Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Mkuu hata ungekuwa wewe,Watoto mboga 100 nyie
Tangu nimefika Dar hii ni mara yangu ya pili kupanda daladala.
Hakiyanani nimeteseka Leo,yaani Korogwe hadi Kimara mwisho kwa mwendokasi huwa natumia dakika 2 hadi tatu.
Leo nusu saa nzima
Nimeshangaa utaratibu wa kudandia gari kabla haijasimama,na abiria waliofika hawajashuka Bado.
Nilishangaa pia daladala za Dar hazina maandishi nyuma Na mbele kama Mbeya.
Yote tisa, kumi Zile ngazi za lift zinazotembea,pale City Mall aisee zilinitoa jasho Mno.
Huyo wa daladala ya gerezani
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana, kwa sababu umezungumzia ulinzi mkali itakuwa kama ifuatavyo...
1-Nyumba yako tutaizungushia sensors zenye uwezo wa kugundua hata kipepeo akiwa half mile away, sensors zitakuwa na uwezo wa ku detect moshi just in case intruders wataamua kutumia njia hio kupuliza moshi au spray zenye madhara
2-tutaweka sensors na mifumo ya biometric recognition, akija mgeni software zitamgundua hata kwa kutembea tu ukiachilia mbali fingerprint na iris scanner..
3-mafuta, vipodozi, vyakula, malazi, maji, vinywaji itabidi kuchunguzwa na mtaalamu/mkemia kabla hujavitumia.., hata maji ya kuoga...
4-Tutafunga wireless detectors(wireless intrusion detection system), kuanzia simu unayotumia, computer na kila kitu, lazima taarifa zipite kwenye device maalumu ambayo ita decrypt taarifa zote kabla hazijaingia wala kutoka, kwa hio vyote unavyo chat lazima tujue unachat na nani na una browse nini..hio ni kuzuia udukuzi..
5-tutaweka fire proof, tutaweka pia smart home security systems kuhakikisha kila kitu una ki control kwa kutumia simu ya mkononi tu, kuanzia kufunga milango, madirisha, geti, kuwasha taa na kila kitu hata tv..
Kutakuwa na walinzi tofauti tofauti wenye kazi tofauti, achana na wale wenye silaha na miili mikubwa..
wapo njiani wanakuja..
NB gharama zote juu yangu..🙂, toa ua sasa
Ndiyo Mzee wa Dolari.Daladala za Mbeya zina maandishi Mbele na Nyuma.
Ndiyo Mzee wa Dolari.
Yaani kwa mfano ile m/mmoja-Mabibo ..hilo neno linaandikwa pale mbele na nyuma.
Sasa huku kila nikitaka panda daladala ni lazima nikasome mbele imeandikwaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada mi nafanya kazi k.koo naishi kwa komba so mwendokasi mara nyingi nashukia hapo Korogwe napajua sana ila we mgeni ungeshukia Baruti au Bucha ndio rahisiMkuu hata ungekuwa wewe,
Ungengombaniaje kupanda na huku mkononi umebeba kitu delicate kinachovunjika?
Mimi mtoto wa mtaani tu!
Hakuna Cha mboga saba wala Nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haunipendi wewe!Hahaha, wanakuhangaisha kweli, yaani Daldala mpaka likugeukie ndio ujue linaenda Wapi.. We kama huna mzigo piga tu kwa Mguu hamna shida. Naoma Njia uliyotaja inatembeleka kwa usalama ni Pedestrian friendly road. Spacious walkways kutoka Gerezani hadi Kimara
Nilitoka makumbusho mkuu na nilitakiwa kwenda Mbezi.Dada mi nafanya kazi k.koo naishi kwa komba so mwendokasi mara nyingi nashukia hapo Korogwe napajua sana ila we mgeni ungeshukia Baruti au Bucha ndio rahisi
Sawa ungeshuka Bucha unapanda daladala za kawaida
Hata hivyo nilipanda daladala.Sawa ungeshuka Bucha unapanda daladala za kawaida
Dada kama ulitoka Makumbusho ungepanda daladala za kupitia Goba 750 straightHata hivyo nilipanda daladala.
Naona option nzuri ilikuwa mimi kushuka ubungo na kupanda mwendokasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daladala ya goba nilikosa seat,,halafu niliambuwa ile njia ni ndefu zaidi kuliko hiyo ya Kimara.Dada kama ulitoka Makumbusho ungepanda daladala za kupitia Goba 750 straight
Dada rudi zako Mwanjelwa tuachie mkoa wetuDaladala ya goba nilikosa seat,,halafu nilihamia ile njia ni ndefu zaidi kuliko hiyo ya Kimara.
Mkuu gari yenyewe nilipanda kwa mbinde,kwa kudandia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa KweliDada rudi zako Mwanjelwa tuachie mkoa wetu
Rudi zako tu huko kijijiniKwa Kweli
Jiji lina taabu hili,,yaani hadi daladala napanda kwa mbinde
Soon narudi jiji la neema,Mbeya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utazoea tu usafiri huu wa shida ...Mkuu haunipendi wewe!
Hivi Unaweza toka mwenge hadi Kimara kwa mguu???
Na zile barabara za pembeni zote zinajaa magari.
Dah wananihangaisha,hadi nisome mbele ..
Sasa unakuta nyingine imepitiliza, Halafu konda anataka asimame kwa mbele kuuliza kama naenda,na mimi ndio hadi nisome kabla sijapanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Town kule weweRudi zako tu huko kijijini
Utazoea tu usafiri huu wa shida ...
Mwanzo ni mgumu .