Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani acha tu mdada wa watu amefunga chuo baada ya mwenda kwao kaja kuishi kwa mchumba wake .

Nilimuonea huruma aisee
Mapenzi ni upofu .
Duh!
Badala ya kurudi kwao anaenda kukaa kwa mtu!
Kweli kila mtu ana taratibu Zake.

Wengine achilia mbali kulala nje,ikifika saa 2 usiku sipo nyumbani ni msala.
Hadi naanza kujitegemea lakini bado nipo chini ya ulinzi mkali,,saa 2 haupo nyumbani ni kesi..na imagine siku nalala nje kabisa


Yeye alihamia kabisa!
Huo ni ujasiri.



Mapenzi ya kupigana ni upumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me sipendi hii tabia. Nilipanga nyumba 1 hivi (boma la mmasai, dah huyo faza house alikuwa anambutua mke wake hadi sio poa.

Siku 1 nikawa na hela ya mchezo πŸ˜‚ nikampiga bapa kubwa 1 tumechill dukani kwa braza ake tunapiga story. Nikampa za uso anayofanya sio poa , anawajengea nini watoto? Wako na 2 kids akanambia sikia mdogo wangu hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mpole. Mke wangu ana mdomo sanaaaa, na ana mdomo yule dada πŸ˜‚

Hivyo ukute huo mkong'oto ni matokeo ya mdomo wa mke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…