Selfika na JF: Snap it. Show it


Ni wapi hapo kwanza?

Unasema 3 tu!

Mimi nilikuwa siwezi vumilia fimbo zaidi ya moja.
We me pale mboko nimekula sana, kutandikwa ilikuwa kawaida tu. Sijui ka mtihani gani mmepata chini ya 60 mboko, afandez wanaalikana 😂 Afande kapita dirishani kasikia minong'ono ni darasa zima mnalambwa.

Ni haya mashule ya hawa wakuda waliojitoa kwenye kundi la uraia.

Nimepamiss ila 😆
 
Ah

Wale wanaotuita sisi raia,utadhani wao ni wakimbizi



Mwee pole.
 
Bora ningekuwa na hiyo nzito
haieleweki.

Hivyohivyo,ukienda itaeleweka.

Cha kwanza na cha muhimu ni nia ya ndani ya kumtumikia Mungu..sauti ni matokeo ya nje.


Kuna Watu hawanywi sauti nzuri lakini wakimsifu Mungu, Mungu anaonekana.
 
Nilishangaa wamejitoa kwenye uraia..
Basi mimi nikawaweka kwenye wakimbizi
maana wanasema wao siyo raia was kawaida.


Shule za kijeshi nadhani nisingeweza kusurvive .
😂😂 watulie maana hata ku roll kwenye tope tukiamua tunaweza. Peki za mchanga tukimua ile ile ... Sisi sote ni raia wa Tz.

Ungeweza vizuri, ungezoea.
 
Duh ndoa kumbe ni ngumu jamani!
Nimestushwa na kelele za vipigo,nyumba ya jirani wanatwangana hatari ..mwanamke anapigwa na bado anaongea huku analia,mara utaniuwa,mara nipige.
Ameachwa ndio anapaza sauti zaidi..sasa hivi nasikia "nipigee"
ana sauti Kali aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…