We me pale mboko nimekula sana, kutandikwa ilikuwa kawaida tu. Sijui ka mtihani gani mmepata chini ya 60 mboko, afandez wanaalikana
Afande kapita dirishani kasikia minong'ono ni darasa zima mnalambwa.
Ni haya mashule ya hawa wakuda waliojitoa kwenye kundi la uraia.
Nimepamiss ila