Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo unakuta anakazia"yaani watoto wa siku hizi mmeharibika"

Wengine fellowship zetu kuvaa bra ni makosa.. inatakiwa kuvaa shimizi.
Anasema sasa mfano teja akikushika utamlaumu nani πŸ˜‚

Hehhee noma sana. Me mama alikuwa ananikataza eti bra zinaharibu manyonyo. Anadai zinafanya yalale.. Nikamwambia yakiamua kulala yalale maana yatakuwa yamechoka kusimama πŸ˜‚.

Walinifundisha kuboost si nikanogewa na bra za sponge, naboost nalegeza skafu na kakifungo kamoja wazi( nasikia raha kichizi mpaka siku nikajadakwa na afande akanipeleka kwa matron. Nilikula mboko, after there nikanunua ma spider kibao
 

Haya mambo magumu.


Wengine hawataki zivaliwe,wengine wanataka zivaliwe...Sasa Sijui Tufwate lipi?!!


Kwahiyo ukalambwa fimbo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…