Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa natoka mkoani kwaajili ya mapindi yao, ingekuwa inawezekana wale jamaa wangetunukiwa PhD za heshima.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hila only veteran ndiyo tumesoma mapindi yale, mimi nilichukua mchepuo wa sayansi chemistry walinisaidia sana na physics dah hivi bado wapo maana ni miaka ya nyuma sana
 
[emoji1787][emoji1787]Noma sana Mkuu. Tumeshinda mle kwenye mtaro wa TBL tukipiga Hisabati kwa Hidden [emoji1787] na Geog kwa jamaa mwingine hapo Chini.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wakongwe tupongezane watu tulikua tunasoma mitopic ya mbele ili ukifika shule uwe mwamba,mwenge mimi kwa wale vijana wa mzumbe chemistry na physics ya A level dah nilisoma nikaielewa kinoma
 
Tena nitajitahidi kuwahi bila kukosa [emoji28]

Nilikuwa naona deal kukaa back benches saivi hata nikiambiwa nicalcute muda wa Congo DR nashindwa [emoji12][emoji12]

Wewe ni mimi mzee nilikua nakaa nyuma na sichukui notes ila kitu kinajaa kichwani, tukifungua shule napiga copy kwa wale wachukua notes wazuri life goes on
 
Aah wapi, physics ingeniua mbona.

Bora integration aisee, siku ya kwanza tu kufundishwa Coord 2 niliamua tu nafsini mwangu, kwamba sitaki kuielewa hii topic hata ije iwe rahisi vipi. Nikaachana nayo mazima[emoji38][emoji38][emoji38]
Hahahahah una intergrate ukiingiza data kwenye calculator inazika kwanza ndiyo ukuletee majibu hahahaha kumbe ulichukuaga sayansi utakua upo nondo sana mdada
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wakongwe tupongezane watu tulikua tunasoma mitopic ya mbele ili ukifika shule uwe mwamba,mwenge mimi kwa wale vijana wa mzumbe chemistry na physics ya A level dah nilisoma nikaielewa kinoma

Mi niliwahi maliza Topic zote za Geog Kwa Mtegetwa kabla sijaanza A level[emoji1787]. Sifa tupu.
 
Aah wapi, physics ingeniua mbona.

Bora integration aisee, siku ya kwanza tu kufundishwa Coord 2 niliamua tu nafsini mwangu, kwamba sitaki kuielewa hii topic hata ije iwe rahisi vipi. Nikaachana nayo mazima[emoji38][emoji38][emoji38]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanawake mnaochukua mavitu ya kutumia akili huwa mnakuaga manunda [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Muda wa kupooza makoromeo
20211012_172650.jpg
 
Back
Top Bottom