Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Mbona mimi nilikuwa nakaa backbench na nilikuwa nasikiliza
Mwenzio nilikuwa napiga story tu na marafiki alafu maswali yakiulizwa hakuna anayejibu 😅😅

Wewe juzi nilikuomba unipige pindi la Calculus ulikataa, leo acha Karma anipige pindi la Geography huenda nikaelewa Uzeeni 🙈🙈🏃🏻🏃🏻🏃🏻
 
Ulikuwa unataka ku-Differentiate na ku-Integrate kitu gani? Shule bana
Mwenzio nilikuwa napiga story tu na marafiki alafu maswali yakiulizwa hakuna anayejibu [emoji28][emoji28]

Wewe juzi nilikuomba unipige pindi la Calculus ulikataa, leo acha Karma anipige pindi la Geography huenda nikaelewa Uzeeni [emoji85][emoji85][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
 
Back
Top Bottom