Akikubali kufanya kazi kwako, basi atakuwa ame fail kutekeleza contractual obligations, hio itakuwa ni breach of contract, kwa mujibu wa makubaliano lazima akutane na penalties za kufa mtu...πππ, kabla hujamuajiri lazima anilipe fidia, kama upo tayari kumsadia kulipa its ok, mtakuwa mmenipa faida sana... bado mie ni mshindi...πππ
4G YA UKWELI! Pata MB550, DK60 mitandao yote na SMS30 Kwa Siku 7, kwa Tsh1000 tu. Piga *149*01# Chagua 1, uwakimbize na 4G. Vigezo na masharti kuzingatiwa