Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,582
- 235,437
Dah[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Nkamu mimi napenda kula yaani napenda!!!nakifurahia chakula kutoka moyoni ndiyo maana nina kilo 95 nazidi nenepa[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hapa miguu inatetemeka,yale mabonde dah[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]pole na asante kwa kutuwakilisha
Dereva makini ni yule anaekagua tairi kabla hajaingia kwa road.Mizururo time....View attachment 1969479
Dah[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
95 !!
Selfika kidogo basi tuone[emoji38]
Upunguze hadi 75.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nkamu nimeshindwaa nishajitahidi sana nimeshindwaa nimebaki tu nasikitika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa inawezekana,ungenipunguzia 20 tu
Halafu wote tuwe na 75.
Hapo sehemu panachangamka daaahView attachment 1970438
Ngoja tuongeze mafuta ya kuendelea na safari.
Cheers to everyone here [emoji1635]
Umejikatia Nia?Nkamu nimeshindwaa nishajitahidi sana nimeshindwaa nimebaki tu nasikitika
Ejhooooo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]naingia 2022 nina 100[emoji23]
Mnakuja mbeya na hamsemi[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1970438
Ngoja tuongeze mafuta ya kuendelea na safari.
Cheers to everyone here [emoji1635]
Sana, uzuri wake chakula kinapatikana muda mwingiHapo sehemu panachangamka daaah
Njoo unywe Saint Anna zako hadi uanze kuongea siri zako zote ndiyo nikupeleke kwenu πMnakuja mbeya na hamsemi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ona nipo pembeni yako na haujaniona.
πππππNimemtuma 2 months b4 aje kuhakikisha unapata ulinzi na hausafiri kama ulivyosema βΊοΈ
kuhusu kuzingwa vumilia , xmas ikiisha unakuwa huru...π, wanasema usicheze mbaliπ
Asante mkuuNjoo unywe Saint Anna zako hadi uanze kuongea siri zako zote ndiyo nikupeleke kwenu [emoji28]
Kama upo jirani nishtue
ππππAsante mkuu
Nimeshalewa,siwezi kuongeza tena.
Asante boss.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji119]
Karibu tena Mkuu wangu