Ni wanaume wote mama yangu siyo hawa tu, na ndiyo maana wanakuwa disturbed sana na women empowerment maana walishazoea maisha ya babu zetu na bibi zetu wanawake walikuwa hawana sauti chochote watakachoambiwa wao ni "ndiyo mume wangu" which is kinda difficult kwa dunia ya sasa kwa kweli.