cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,181
Ndo km mie hapa nshachokaa yaan ila bas tyuuh.Nakumbuka kuna kipindi shule ilitaka kuniua kwa mawazo.
Ndo km mie hapa nshachokaa yaan ila bas tyuuh.Nakumbuka kuna kipindi shule ilitaka kuniua kwa mawazo.


Walevi sio watu wazuri kabisa 😂Ila Watu,walevi
Yaani wanashangaa wewe kuacha pombe![]()
Nakuona, hyo jeuri yako adi kikukute kitu ndio utaachaInasikitisha.
😅😅😅 ujeuri unaota mizizi mwenzio
Hajaacha wala, ni ana stress tu hapo 🤣🤣Ila Watu,walevi
Yaani wanashangaa wewe kuacha pombe![]()
Hongera sana mkuu, Mungu awalinde ndoa yenu idumu na upendo utawale kwenye nyumba yenu daima😍Wakubwa karibu kusherehekea nami kumbukumbu ya miaka 5 ya ndoa, shukrani kwa Mungu na kwa wote pamoja na watu wa jf kwa mchango wenuView attachment 1968673
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushatoroka wewe. Chamani kumekolea nazi...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 aki upoje
Wee me kinapanda tena vizuri sana. Kumbe ndio maana unakunywa juice? 😂
Em usiidhulumu nafsi pls
🤣🤣🤣 mninunulie nionje Ila me nimeacha jamaniHajaacha wala, ni ana stress tu hapo 🤣🤣
Unaona sasa jinsi uko hoves adi unavamia maembe hayajaiva.Ushatoroka wewe. Chamani kumekolea nazi...
Afu juice yenyewe sijui ilikuwa ya maembe mabichi 🤣
😀😀 NiombeeNakuona, hyo jeuri yako adi kikukute kitu ndio utaacha
Hahaa usiache bana, nitakutumia muamala ujiburudishe kesho.🤣🤣🤣 mninunulie nionje Ila me nimeacha jamani
I will shoo, jinsi napenda uwe na furaha😀😀 Niombee
Asante mno, na ndivyo ilivyoHongera sana mkuu, Mungu awalinde ndoa yenu idumu na upendo utawale kwenye nyumba yenu daima![]()

Mungu azidi kuwatunza,Wakubwa karibu kusherehekea nami kumbukumbu ya miaka 5 ya ndoa, shukrani kwa Mungu na kwa wote pamoja na watu wa jf kwa mchango wenuView attachment 1968673
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa njema.Wakubwa karibu kusherehekea nami kumbukumbu ya miaka 5 ya ndoa, shukrani kwa Mungu na kwa wote pamoja na watu wa jf kwa mchango wenuView attachment 1968673
Sent using Jamii Forums mobile app


Natamani ikawe hivyo hivyo kwako na kuzidi zaidi ya kuzidi.Mungu azidi kuwatunza,
Amani ya Kristo ipitayo fahamu zote izidi kuwahifadhi mioyo yenu .
Upendo wa Kristo ukae kwa wingi ndani yenu. .
Mungu abariki kizazi chenu,kiwe cha baraka..Mkaone wajukuu na vitukuu kwa kadiri ya Mapenzi Yake.
Dumuni katika kuomba,mkeshe katika kuomba ili mwovu asipate upenyo ..
Dumuni katika maombi,mkituombea na sisi pia (mimi na babe Jack Palladino (kidding)).
Mungu awajazie baraka.
Hongera mkuu .